Unashangaa ubisho wa kibongo? Sasa subiri kifo kuu ianze uone jinsi wachawi (wachezaji wetu) watakavyokuwa wanaiga wachezaji waliokuwa kwenye World Cup. Yaani truly nonsense!
Urusi nje! Nimefurahi sana! England, Italy, Spain, Portugal...wote waliwahi kuwa mabingwa lakini safari hii walie tu!
Origi Baba yake ndio Mkenya yeye kazaliwa Belgium wakati baba yake kashakuwa Raia wa Belgium sasa Kuwa Mkenya inatokana wapi? Kenya Wana Dual Citizenship? Sio Kama ni Hater ila ukweli tu tuwe sawa na kutokea mtu tukasema Model Yule anadamu ya Kitanzania Mama yake au Baba yake ila si Mtanzania.Mbona hapa kwenye TV inasema ni Belgium vs South Korea, hiyo Kenya imekujaje? Yaani hii ni sawa na kumuita Obama Mkenya wakati hana issue yeyote na Kenya.
Origi Baba yake ndio Mkenya yeye kazaliwa Belgium wakati baba yake kashakuwa Raia wa Belgium sasa Kuwa Mkenya inatokana wapi? Kenya Wana Dual Citizenship? Sio Kama ni Hater ila ukweli tu tuwe sawa na kutokea mtu tukasema Model Yule anadamu ya Kitanzania Mama yake au Baba yake ila si Mtanzania.
Hayo Matatizo ya Wataliano wakubali wasikubali ni Mtaliano Kama kazaliwa Italy au kashakuwa Raia akifunga goli ubongo wao unakuwa Blind baada kumuita Mario wanaumia Marioooooooo! Kwa furaha ila kosa moja watamsakizia yeye sababu mweusi wanasahau kumuita Mario wanaumuita BABATUNDE! Ila still haibadilishi Origi sio Mkenya hata angekuwa wazazi wake ni Watanzania si Mtanzania Kama Raia wa Nchi nyengine ila ni Mdunia au Msayari angekuwa Mkenya angeenda kuchezea Kenya na Kina Wanyama!Mbona baloteli anasema yeye mtaliano wakamwambia hakuna mtaliano mweusi au ni tetesi tu?
Labda amekosea kdg ila algeria wanatutia moyo kwa kweli
Hayo Matatizo ya Wataliano wakubali wasikubali ni Mtaliano Kama kazaliwa Italy au kashakuwa Raia akifunga goli ubongo wao unakuwa Blind baada kumuita Mario wanaumia Marioooooooo! Kwa furaha ila kosa moja watamsakizia yeye sababu mweusi wanasahau kumuita Mario wanaumuita BABATUNDE! Ila still haibadilishi Origi sio Mkenya hata angekuwa wazazi wake ni Watanzania si Mtanzania Kama Raia wa Nchi nyengine ila ni Mdunia au Msayari angekuwa Mkenya angeenda kuchezea Kenya na Kina Wanyama!
Kubadilika bado sana ila Mjerumani ni timu nzuri ila nao Policy zao Mjerumani waliozaliwa Kama wale waturuki na polish wamezaliwa Kule Kule ujerumani England kavuka ujue mjamaica Africa itachukuwa muda ambaye hajazaliwa England sijui Kama itatokea.Muda si mrefu watabadilika. Juzi juzi kabla ya World Cup walianza kudiscuss hii kitu wanaona France, Germany, Belgium zinavyofaidika na vipaji vipya kila siku wakati wenyewe wanazidi kutokomea gizani na vipaji vyao vya kina Cleverly,Smalling, Wilshere,Welbeck nk
Nikweli. Mie niliwafuatilia sana katika mechi za friendly walishinda mechi nyingi sana ambazo ziliwapandisha mpaka wakawa timu namba 1 kwa Africa na wakamshusha Ivory Cost.
So nilihisi watapita round hii ya makundi.
Ni kweli Portugal bado...nilikuwa namkumbuka tu Eusebio!
Urusi nje! Nimefurahi sana! England, Italy, Spain, Portugal...wote waliwahi kuwa mabingwa lakini safari hii walie tu!
Mpaka sasa World Cup 135 goals zimefungwa. FYI
Origi Baba yake ndio Mkenya yeye kazaliwa Belgium wakati baba yake kashakuwa Raia wa Belgium sasa Kuwa Mkenya inatokana wapi? Kenya Wana Dual Citizenship? Sio Kama ni Hater ila ukweli tu tuwe sawa na kutokea mtu tukasema Model Yule anadamu ya Kitanzania Mama yake au Baba yake ila si Mtanzania.
Mbona hapa kwenye TV inasema ni Belgium vs South Korea, hiyo Kenya imekujaje? Yaani hii ni sawa na kumuita Obama Mkenya wakati hana issue yeyote na Kenya.