palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,459
mkuu hamna matuta..kwa kikoc cha brazil kitakachoanza leo
brazil huwa anazionea timu za mabara mengine na siyo amerika kusini. Brazil ya mwaka huu weupe tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu hamna matuta..kwa kikoc cha brazil kitakachoanza leo
Kimpira Brazil haivuki.
Ila kifitna itafika fainali!
Algeria ndio imekuwa timu ya kwanza barani Afrika kufunga mabao 4 ktk mechi 1 haijawahi kutokea,na ilimchapa Ujerumani(wakati huo Ujerumani Magharibi)2-0 ktk uwanja wa el molinon jijini Gojon mwaka 1982 world cup nchini HispaniaViongozi wa kiafrika wapuuzi sana...kwani hela hizo FIFA waliwapa kwa ajili ya kujengea ofisi au kulipia posho za wachezaji?
Brazil wanacheza mpira kutokana na timu wanayokutana nayo...chile kafungwa mara 10 na brazil xo cdhan sana kama mambo yatakua tofaut leo ingawa naamin chile kimpira wapo vizur pia but watazidiwa mbinu tu na wazee wa samba..siamin sana kama Brazil ataaga michuano 16 bora..
brazil huwa anazionea timu za mabara mengine na siyo amerika kusini. Brazil ya mwaka huu weupe tu
Algeria ndio imekuwa timu ya kwanza barani Afrika kufunga mabao 4 ktk mechi 1 haijawahi kutokea,na ilimchapa Ujerumani(wakati huo Ujerumani Magharibi)2-0 ktk uwanja wa el molinon jijini Gojon mwaka 1982 world cup nchini Hispania
Mkuu hamna matuta..kwa kikoc cha Brazil kitakachoanza leo
Brazil wanacheza mpira kutokana na timu wanayokutana nayo...chile kafungwa mara 10 na brazil xo cdhan sana kama mambo yatakua tofaut leo ingawa naamin chile kimpira wapo vizur pia but watazidiwa mbinu tu na wazee wa samba..siamin sana kama Brazil ataaga michuano 16 bora..
Chille hawezi kumfunga Brazilbrazil huwa anazionea timu za mabara mengine na siyo amerika kusini. Brazil ya mwaka huu weupe tu
Yaani hawa ndo nawakubali this time... wakikaza Ujerumani anachapika!
Dada sisi Africans sidhani kama tupo sawa kwenye akili zetu,sisi tuna laana!Ghana hadi wanagoma ndipo zinaletwa kwa ndege ya kukodi dola Milion 3 napo akina Muntari wakagoma kwa kuuliza kwa nn FIFA wametoa dola 8 Milion lkn viongozi ambao ni wachache wanakula dola 5 Milion na wanaocheza ambao ni 2 unawapa dola Milion tatu tu wagawane
chille hawezi kumfunga brazil
Brazil wanacheza mpira kutokana na timu wanayokutana nayo...chile kafungwa mara 10 na brazil xo cdhan sana kama mambo yatakua tofaut leo ingawa naamin chile kimpira wapo vizur pia but watazidiwa mbinu tu na wazee wa samba..siamin sana kama Brazil ataaga michuano 16 bora..
to team chile tupo, bado masaa machache kipute kianze
Jamani msije mkakana kauli zenu hizi.