World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Mdogo wangu karudi analia eti ameliwa kwenye bettii.ng,,,,,,
Mdogo wangu ni mshabiki wa Man u yaani kafurahi mno, lakini ni kwa sababu
ya yule kocha wao anahisi mambo yatakuwa mazuri sana si yeye tu nahisi
hata wana JF walioko MAN U Wanafurahi.
 
Game ya Chile na Australia ndiyo itatupa majibu kama Spain atapita raundi ya pili au atafungasha.
 
kweli maajabu ya dunia. yaani muda mfupi baada ya spain kula kichapo cha 5 -1, mdau mmoja wa spain ameshinda euro 137 milioni kwenye bahati nasibu iitwayo "euro million"!
 
Imefika wakati astaafu amuache de gea langoni
spain walikua hovyo nyuma nadhani. kocha pia alifanya maamuz ya ovyo kumtoa alonso..alonso yuko vasatile sio kma akina silver.silver ni winning team player kwa dituation ya leo nadhani arteta alistahili kuitwa he would do smthng.othrwse akina xavi na iniesta wameshiriki kuandika hitoria zao binafsi na sio ushindi kwa team..bt spain watapita kwenye kundi naamin hyo..
 
Back
Top Bottom