meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,425
- 4,768
Sijapata ona Brazil mbovu kama hii na wakikutana na uholanzi tano zinahusika hapa
Ndaga, nalolii fyijo.
Shenzi type!
Mpaka nimeanza kuharisha ghafla usiku huu.
Huu mpira ulikuwa na mihemuko sana kwa kwa kweli.!!
Ndo manake chile bahati hikua yao....mpira brzil ya mwaka huu tukubali tu mpira hawajuiAlaa, kumbe!! Kwa hiyo Chile hawakua na bahati ama?!?
kapita kindondokela mkuu. Hii ilikaribia ile mechi kati ya Man utd vs Chelsea CL final Urusi
Ulikimbilia wapi?nakuona umekuja kusherekea ushindiTulishasema leo hatutoki hata iweje, nina furaha sana na nimepiga kelele hapa. Duh ahsante Mungu sasa wine yangu taratibu, what a weekend #teamBrazil #
Brazil ya sasa hivi inatia kinyaa...
Sijapata ona Brazil mbovu kama hii na wakikutana na uholanzi tano zinahusika hapa
Sijapata ona Brazil mbovu kama hii na wakikutana na uholanzi tano zinahusika hapa
Ndo manake chile bahati hikua yao....mpira brzil ya mwaka huu tukubali tu mpira hawajui
Tumekufa kiume Team Chile
Ulikimbilia wapi?nakuona umekuja kusherekea ushindi
ha ha ha ha! kifo ni kifo tu!Tumekufa kiume Team Chile