Ule utabiri wako umeota mbawa,vipi Colombia na Uruguayi,nani atakutana na Brasil robo fainali?haya twende kazi ya utabili
leo nimekubali webb ni refa mzuri. Natamani angekukwa refa wa mechi kati ya ivory coast na greece
Vipi kina Baloteli walishatua Rome?Haki imetendeka.timu iliyocheza soka zaidi ndio imepita.Chile hawakuwa na jipya zaidi ya kupaki basi.ila ni lazima timu zenye kutandaza soka uwanjani zitafute namna ya kudeal na kupaki basi manake huu mchezo umekuwa ukiziumiza timu nyingi nzuri,mtu analinda goli muda wote halafu anakupiga kwenye matuta,hii sio fair!ningechukia kama Chile wangepita kwa soka ya kulinda goli 24/7.hongera Brazil,but..120 minutes of struggling to score?!napata mashaka!anyway,labda sababu ya treni la Chile!let's wait and see.
Nilikuwa mamii, ila nilikuwa nacheck mchezo kiumakini, presha ilikuwa kubwa sana. Now ni kusheherekea ushindi tu, mdogo mdogo mpaka mpaka kombe libaki tuwe na hope tu.
Bitaa ukagone mwaha. Makani matelevu kwa Brazi hahaaaaa.
Huyu jamaa alinitia presha sana yaani kidogo nilie mie maana kila saa ananikumbusha kuwa nina BAN ya miezi Saba
Ule utabiri wako umeota mbawa,vipi Colombia na Uruguayi,nani atakutana na Brasil robo fainali?haya twende kazi ya utabili
jamaa leo alikuwa mzuri sana
#teambrazil all the way
Haki imetendeka.timu iliyocheza soka zaidi ndio imepita.Chile hawakuwa na jipya zaidi ya kupaki basi.ila ni lazima timu zenye kutandaza soka uwanjani zitafute namna ya kudeal na kupaki basi manake huu mchezo umekuwa ukiziumiza timu nyingi nzuri,mtu analinda goli muda wote halafu anakupiga kwenye matuta,hii sio fair!ningechukia kama Chile wangepita kwa soka ya kulinda goli 24/7.hongera Brazil,but..120 minutes of struggling to score?!napata mashaka!anyway,labda sababu ya treni la Chile!let's wait and see.
Washukuru Neymar na Ceser,la sivyoooo ungepewa sabatical leave hivi hivi,mara ya pili usirudieHuyu jamaa alinitia presha sana yaani kidogo nilie mie maana kila saa ananikumbusha kuwa nina BAN ya miezi Saba
Mkuu hali ilikuwa mbaya sana..... hao ni akinababa je akinamama waliminya nini?
Haki imetendeka.timu iliyocheza soka zaidi ndio imepita.Chile hawakuwa na jipya zaidi ya kupaki basi.ila ni lazima timu zenye kutandaza soka uwanjani zitafute namna ya kudeal na kupaki basi manake huu mchezo umekuwa ukiziumiza timu nyingi nzuri,mtu analinda goli muda wote halafu anakupiga kwenye matuta,hii sio fair!ningechukia kama Chile wangepita kwa soka ya kulinda goli 24/7.hongera Brazil,but..120 minutes of struggling to score?!napata mashaka!anyway,labda sababu ya treni la Chile!let's wait and see.
Nilikuwa nakuona kwenye background ukiumia
Mimi nilikuwa naumia sana ila am Happy now
Jamani nisaidieni Brazil tunachukua hili doo kwa kwa mara ya ngapi
Chile walikuwa wanategemea sana sana penalties ndio maana walikuwa wanarudi nyuma sana.
Extra time ndio walirudi sana nyuma