HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Ule utabiri wako umeota mbawa,vipi Colombia na Uruguayi,nani atakutana na Brasil robo fainali?haya twende kazi ya utabili
Huyu jamaa alinitia presha sana yaani kidogo nilie mie maana kila saa ananikumbusha kuwa nina BAN ya miezi Saba