World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Yaani Watanzania tukiona timu zinafunga vibonde ndio twasema wanachukua kombe
 
We acha tu basi nilikuwa naangalia na marafiki baadaye wakaanza kuniigiza jinsi nilivyokuwa tense wakati wa penalties lol! hahahahahaha nilicheka sana, leo kwa raha zangu. Enjoy the game#TeamNetherlands
Mungu atusaidie Team Holland,kwa kweli mtoano ni noma,maana mshindi na mshindwa lazima apatikane
 
Wale wadau wenzangu wa mexico naomba kuwatambulisha kwenu uzi maridaaaaadi kabisa wa kijani dhidi ya uzi wa urujuani wa wapinzani mdororo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…