World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Hii ngoma kama ya brazil jana,holland watashinda kibahati bahati tu...
 
Wakishinda Mexico najipiga ban ya shots za Tequila hadi WC iishe...
Hehehehe kutoka Sigara mpaka kinywaji cha pombe ya kienyeji ya Mexico Tequila heheh Leo utavuta na kuzinywa saa tehtehteh dk 70 wataomba time out tena Holland wataambiwa time out yenu imeisha ombeni mkopo ya Mexico.
 
wadau sijawah ona mpira ukisimama,kat kat ya mchezo na wachezaji kupumzika kidogo,mwenye kujua zaid anifahamishe n kwanin uholanz na mexico wamepumzika kabla ya kipind cha kwanza kukamilika.
naona mtindo huo utatumika sana kwenye lig ya zanzibar msimu ujao maana wanapenda ulain ulain.Mwenye kujua break ile ilitolewa kwa maana gan atujuze
 
Bila kusahau huyu refa wa leo ni MRENO, huenda analipa kisasi kwa yale waliyofanyiwa wk iliyopita (5:1)
 
wengi wameliwa jana mitaa fulani kaweka mamilioni ya hela ya bongo Brazil inashinda dk 90 vs Chile.
 
Mexico walikuwa bora zaidi dimbani kwa dakika hizi 45!Holland hawajafanya hata shambulizi moja la maana zaidi ya dubious penalty claim at the of added time!

Shame on them Holland
 
Yaani pamoja na mbwembwe zote za kushinda goli 5 dhidi ya Spain na kumwaibisha sana leo wanacheza kama wanaenda wameshinda kombe tayari

huwezi shinda mechi ndani ya dk 90 timu haina kiungo. holland kiungo hakuna kabisa wanategemea kaunta tu na mabeki wa mexico ni wazuri
 
Dah ni sawa na kisu cha mchina lazima makali yaishe ukikata nyama mara tatu, huyu Netherlands watu wamemsifia sana mara ooooh mara eessh mara sheeeee ila leo nimemtoa kabisa akikutana na wasaka magoli kina Neyma lazima tu alie
 
Timu ambayo inatafuta magoli hii world cup yote ni Brazil tu hizi nyingine wanatupotezea muda tu sioni kama wanataka hata kufika mbali wao wanalinda tu goli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…