World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Jamani siamini ninachokisoma livescore kwenye simu yangu.hadi dk ya 87 ilikuwa 1-0,nimeupdate scores baada ya dk 3 tu naona 2-1,ikabidi nije kucheki reaction za wadau jf naona daah!hebu acheni utani wakuu,huu mpira ulikuwaje?

hahaha we mkuu usinichekeshe sana habari ndio hiyooo. Holland hao
 
Kwa hiyo sala yako tu ya kuwaombea ushindi unastahili kupata passport yao, shuka pale ubalozini na picha ya kuwaombea ushindi lazima watakutunuku kitabu chao lol!!! hahahahaha

Mngeniona nilivyokuwa nimepiga magoti nasali,utafikiri nina passport ya uholanzi,Mungu saidia
 
gamba la chuma ! Mpira dakika 90 ! Meza hayo maneno yako na ukalale mapema leo !!!!!
 
Hahahahahaaa usiniambie ni wivu? penalt mmebebwa. Hamtafika fainali ng'oo

Fainali wanafika,timu possible kukutana nazo ni Costarica,Grece,nusu fainali ni kati ya Belgium,Usa,Argentin,Swiss,Kusema ukweli kati ya hizi timu,hakuna wa kumfunga MDutch
 
Wakati wa wataalamu kubwbwaja..technology hii imewarahisishia kuongopa ongopa..
 


Kwa mechi ya leo Dos Santos hakutakiwa kutolewa , ila ndio hivyo tena mabadiliko hayo hayakuwasaidia Mexico
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…