World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

hapa sina team,naangalia mpira bila stress yoyote,ila ningependa Grece apite ili akutane na Holland.Roben ajimwage bila taabu yoyote
 
Vamonos Costa Rica and Greece. We need a goal to break all hell loose.
 
Mkuu umenichekesha xana,hakuna bahati africa cos hatustahili bahati zenyewe,kuanzia kwa kina suley muntari,ivory coast wenyewe waliogoma kuondoka kabla hawajalipwa,hakuna patriotism kwa wachezaji wote wa africa,ni kama wanachezaga proudly tuuu.

Weeeeh pesa kwanza aiseeh me nawa support sana wachezaji wache wagome tuu wapewe haki yao bana na hao viongozi wao wa soka waache ufisadi wao.
 
Costa Rica wananyimwa possession kama Uruguay jana.wasipogangamala wataisikia robo fainali redioni maana hawa wagiriki wakiamua kufa na mtu huwa ni mzigo mzito.naona huu mzigo mabegani mwa Costa Rica hivi sasa,halafu ghafla baadae unasikia Samaraaaas,hiyo ni dk ya 90.Campbell anatakiwa awahi kabla ya kuwahiwa
 
Whooooa! Kausingizi kaswaumu kalikuwa kanaanza kuninyemelea. Magoli ypo wapi????????????
 
Duh mbona storı zımesmbaa twıtter kua Davıdo kabeba tuzo??

Hao ni wazushi mkuu;BET Award live coverage inaanza saa 11 jioni(saa moja toka sasa)lkn nominees wanaanza kutajwa saa 1 jioni(masaa 3 toka sasa)

Sasa hao wanaosema Davido kakomba award labda wana BET Awards yao
 
Ebana yule Rodriguez wa Colombia inaonyesha anaweza kuja kuwa mchezaji mzuri sana .

Sikumcheki vizuri, nasikia watu wengi wamempenda. Uzuri na ubaya wa World Cup ni mahali kujiuza mkuu au kuuziwa mbuzi guniani, tusubiri tuone nani ataondoka na kifaa na nani atauziwa mbuzi guniani. Kuna wanaong'aa katika World cup wakienda ulaya wanachuja au wanapakimbia kama Asamoah Gyan alivyokwenda Sunderland
 
Bonge la Striker wa kesho na keshokutwa

Akija Liverpool kwa BR apigwe msasa afunge mabao mengi!Kwenye 100+ tutakayofunga msimu huu hawezi kosa angalau bao 20 lkn akienda Arsenal na bao zao 45 msimu ujao hapo atafunga sana sana bao 2 tu
 
km nigeria watasahau yalyotokea wakacheza in dscipln kutoka nyuma mpaka kwny final 3 ya france watawin.
 
kashakua Davido


Huo ni uzushi tu kaka,photo shop hiyo!BET Awards bado hata haijaanza sasa kachukua vipi?Saa 1 kuanzia sasa itaanza kurushwa live

Kwanza kwenye BET Awards hawavai hivyo,wanavaa suti!!Ni tuzo inayoheshimiwa sana hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…