J. Campbell
J. Campbell
Mkuu umenichekesha xana,hakuna bahati africa cos hatustahili bahati zenyewe,kuanzia kwa kina suley muntari,ivory coast wenyewe waliogoma kuondoka kabla hawajalipwa,hakuna patriotism kwa wachezaji wote wa africa,ni kama wanachezaga proudly tuuu.
Bonge la Striker wa kesho na keshokutwa
Msisahau kumshangilia Diamond kwenye BET Awards masaa 2 toka sasa tafadhali!Ni kijana wetu huyu tumuunge mkono
wenger amshekamilisha work permit msimu ujao tupo naye EPL
Whooooa! Kausingizi kaswaumu kalikuwa kanaanza kuninyemelea. Magoli ypo wapi????????????
Duh mbona storı zımesmbaa twıtter kua Davıdo kabeba tuzo??
Ebana yule Rodriguez wa Colombia inaonyesha anaweza kuja kuwa mchezaji mzuri sana .
Duh mbona storı zımesmbaa twıtter kua Davıdo kabeba tuzo??
Bonge la Striker wa kesho na keshokutwa
kashakua Davido