World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Kama macho yangu yatakuwa sahihi goli lililofungwa na nigeria halikuwa offside. Hata picha za repy zimeonyesha hivyo. Lile lilikuwa goli halali kabisa. Kwa mara nyingine uamuzi mbovu unatucost.
 
Kama macho yangu yatakuwa sahihi goli lililofungwa na nigeria halikuwa offside. Hata picha za repy zimeonyesha hivyo. Lile lilikuwa goli halali kabisa. Kwa mara nyingine uamuzi mbovu unatucost.
mkuu kama ipo ipo tu hata kwa visa ila # team nigeria tunapita
 
Nigeria wanacheza vizuri wakiendelea hivi kwa dakika 90 na kuepuka makosa basi wanaweza kuibuka na ushindi.... Go #TeamAfrika Go!
 
Afu benzema kafunga hapo


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…