Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Kama macho yangu yatakuwa sahihi goli lililofungwa na nigeria halikuwa offside. Hata picha za repy zimeonyesha hivyo. Lile lilikuwa goli halali kabisa. Kwa mara nyingine uamuzi mbovu unatucost.