World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

10441097_926268257389022_2609447913415437635_n.jpg

Nigeria goalkeeper Vincent Enyeama saves a shot by Paul Pogba of France.

10489971_926268290722352_6312653469610257120_n.jpg

France midfielder Blaise Matuidi challenges Nigeria's Peter Odemwingie for the ball.

10489956_926268224055692_2664153889037079320_n.jpg

Nigeria's Emmanuel Emenike is challenged by France's Patrice Evra and Yohan Cabaye.

10518713_926268247389023_3241763990783076442_n.jpg

Nigeria's Ahmed Musa and France's Mathieu Debuchy vie for the ball in Brasilia.
 
salama kabisa ndugu prs, mimi niko huku michezoni napatikana hasa wakati wa mechi za saa 1 jioni, wewe vipi hujambo?

Mkuu Skype Sijambo kabisa..Mimi hizi timu za Africa mwanzoni ziliniudhi...Hasa Cameroon ..Leo kidogo Safi ndiyo maana niko Jukwaani.. 🙂
 
Last edited by a moderator:
Hivi Nigeria ikivuka robo fainal ndo itakuwa team ya kwanza Africa kufikia hiyo hatua?
 
Tatizo Nigeria wanapoteza nafasi nyingi sana!!France wakipata nafasi hizi wanafunga
 
Mkuu Skype Sijambo kabisa..Mimi hizi timu za Africa mwanzoni ziliniudhi...Hasa Cameroon ..Leo kidogo Safi ndiyo maana niko Jukwaani.. 🙂

hujapata taarifa kua sisi waafrika tuliwahujumu wachezaji tukala posho zao hadi wakagoma kwenda mazoezini? Siwalaumu wachezaji maana wana uwezo hasa ila hujuma za viongozi wetu mfano wa kina Malinzi Tanzania
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom