World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Waste of chances from Northerners!!Kama tu Ghana tunahitaji nafasi 5 tufunge bao moja sisi Africans
 
Hivi Nigeria ikivuka robo fainal ndo itakuwa team ya kwanza Africa kufikia hiyo hatua?

kama sikosei nakumbuka Senegal waliwahi kufika robo fainali mwaka 2002 wakatolewa ktk dk zile 30 za nyongeza enzi za goli la dhahabu kipindi cha Alhaj Diof akiwa kwenye ubora.
 
hujapata taarifa kua sisi waafrika tuliwahujumu wachezaji tukala posho zao hadi wakagoma kwenda mazoezini? Siwalaumu wachezaji maana wana uwezo hasa ila hujuma za viongozi wetu mfano wa kina Malinzi Tanzania

Ni kweli Mkuu Soka letu lina-Didimizwa na Viongozi..Siyo kweli kuwa hatuna vipaji..
 
Matuidi jamani anamuumiza muafrica mwenzake,halafu ana bahati hapo ilikuwa ni red card
 
10441097_926268257389022_2609447913415437635_n.jpg

Nigeria goalkeeper Vincent Enyeama saves a shot by Paul Pogba of France.

10489971_926268290722352_6312653469610257120_n.jpg

France midfielder Blaise Matuidi challenges Nigeria's Peter Odemwingie for the ball.

10489956_926268224055692_2664153889037079320_n.jpg

Nigeria's Emmanuel Emenike is challenged by France's Patrice Evra and Yohan Cabaye.

10518713_926268247389023_3241763990783076442_n.jpg

Nigeria's Ahmed Musa and France's Mathieu Debuchy vie for the ball in Brasilia.

Asante BAK yaani umenifanya nijiskie niko karibu na Tv.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Nimetoa machozi kwa kweli,huyu kaka alivyoumizwa,inauma sana,Matuidi kwa nini umemchezea rafu mbaya namna hiyo nduguyo?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom