World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Waste of chances from Northerners!!Kama tu Ghana tunahitaji nafasi 5 tufunge bao moja sisi Africans
 
Hivi Nigeria ikivuka robo fainal ndo itakuwa team ya kwanza Africa kufikia hiyo hatua?

kama sikosei nakumbuka Senegal waliwahi kufika robo fainali mwaka 2002 wakatolewa ktk dk zile 30 za nyongeza enzi za goli la dhahabu kipindi cha Alhaj Diof akiwa kwenye ubora.
 
hujapata taarifa kua sisi waafrika tuliwahujumu wachezaji tukala posho zao hadi wakagoma kwenda mazoezini? Siwalaumu wachezaji maana wana uwezo hasa ila hujuma za viongozi wetu mfano wa kina Malinzi Tanzania

Ni kweli Mkuu Soka letu lina-Didimizwa na Viongozi..Siyo kweli kuwa hatuna vipaji..
 
Imechezwa rafu mbaya sana hadi nikahisi mguu wangu umestuka
 
Matuidi jamani anamuumiza muafrica mwenzake,halafu ana bahati hapo ilikuwa ni red card
 

Asante BAK yaani umenifanya nijiskie niko karibu na Tv.
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
Nimetoa machozi kwa kweli,huyu kaka alivyoumizwa,inauma sana,Matuidi kwa nini umemchezea rafu mbaya namna hiyo nduguyo?
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…