World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Ebana wazungu hasa England walikuwa wanapiga domo kupinga kombe la dunia kupelekwa South Africa 2010 wakalichamba bara letu la Africa, angalia hivi viwanja vya Brazil jinsi pitch yake ilivyo hovyo hovyo kuliko ilivyokuwa South Africa. Sijasikia wazungu wakibwabwaja juu ya hili hadi sasa.
 
rubaman

Hata Malafyale anakushangaa unavyojipa moyo na timu yenu afadhali Kilak yeye kasema atakuwa anashangilia Nigeria
 
Last edited by a moderator:
nasubiri nione hii Goal Line Technology itakavyokorofisha watu hapa. Hadi sasa inapatia goli lisipofungwa ngoja itokee kama ile ya England vs Germany tuone watakavyokimbizana hadi Brussels kama sio Geneva.
 
Walishaanza kushangiria maskini offside
mi sitaki watoe draw nataka Chile ashinde sijui unamshabikia nani kati ya hao mkwe!
lol!najua unataka chile wafungwe ili spain wajiwekee wakati mzuri
 

Waingereza wameshalalamila pitch itakayotumika kwenye mechi yaoa ya kesho sio nzuri/haijakamilika

Kwahiyo wakifungwa tayari wana sababu
 
mi sitaki watoe draw nataka Chile ashinde sijui unamshabikia nani kati ya hao mkwe!
lol!najua unataka chile wafungwe ili spain wajiwekee wakati mzuri


Mie time chile umeona wamewaibgezea la 3 la lala unono lol
 
hawa brazil sijui watafika mbali kweli maaana jinsinmechi zinavyoendela kila timu inaonekana nzuri kuliko mwenyeji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…