Jaslaws
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 6,016
- 5,296
van persie and van gaal, 2tegemee makubwa wana man u
Kifaranga cha kuku kutegemea nyonyo kesho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
van persie and van gaal, 2tegemee makubwa wana man u
Spain haina beki. style ya mpira wanaocheza itabidi waibadilishe.kumbuka hata Brazil iliwacost sana na walihangaika kubadilisha style yao ya uchezaji.hiyo Total football sio dili tena.Kumbuka mwaka jana ktk fainali ya kombe la mabara ilipigwa goli 3-0 na Brazil lakini inaonekana bado hawajiulizi ni kwanini.
hawa brazil sijui watafika mbali kweli maaana jinsinmechi zinavyoendela kila timu inaonekana nzuri kuliko mwenyeji
Always mshindi wa world cup kwa nchi za ulaya hua anakutana na vichapo next world cup tournament!!
Angalia ujeruman magharibi enzi hixo 1990 alichukua but 1994, alitoka mapema,brazili alichukua,akaenda fainali 1998 na france but magoli hayakutosha,France akachukua
2002 kilichomkuta France ni aibu,2006,akachukua itary kilichomkuta 2010 pale kwa mzee madiba ni aibu na 2010 akachukua Spain,sasa ona kichapo anachokumbana nacho! Tusubiri tuone!!
Ebana wazungu hasa England walikuwa wanapiga domo kupinga kombe la dunia kupelekwa South Africa 2010 wakalichamba bara letu la Africa, angalia hivi viwanja vya Brazil jinsi pitch yake ilivyo hovyo hovyo kuliko ilivyokuwa South Africa. Sijasikia wazungu wakibwabwaja juu ya hili hadi sasa.
Waingereza wameshalalamila pitch itakayotumika kwenye mechi yaoa ya kesho sio nzuri/haijakamilika
Kwahiyo wakifungwa tayari wana sababu
Waingereza madomokaya mas...ng na maboya sana hayajui mpira kazi majungu majungu na chuki zisizo na msingi.
Ingekuwa ni bongo pia tungeiita BRN (Big Results Now)Haa haa kwi kwi usiponitangaza,nitakutangaza wewe !!!!
Hao jamaa kwa ubaguzi hawajambo sana.
asee kwel...
chile wanashinda goli 3 kwa 1 .
spain mechi inayokuja wanashinda 2 kwa 1.
chile watadroo na uholanzi.
then next
"SPAIN OUT"