World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

inabidi itungwe sheria kipa asitoke nje ya 18 yard box...huyu NUER amekuwa beki namba 1 sasa!!!!!!
 
Mida ya kuaibishwa hii. Ujerumani wamelazimshwa extra 30 min
 
Duuuuuhh!
Huyu RAIS wa algeria kweli kaonyesha jitihada za hali ya juu sana..!!
 
Malafyale

Nimekubali timu yako, katika timu za Africa hii ndio timu ngangari na bora zaidi
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…