Malcolm X5
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 1,639
- 2,752
embu edit kidogo mkuu
Nigeria kafungwa ubitozi wa Odemwingi na Moses ila Algeria cross mbovu. Kilichobaki Kuwa #TeamColombia .
Hahahahahah hamna haiwezekani hapa nafsi yanambia leo ndo mwanzo na mwisho kutizama game.....nsijevunja tv tu lol
No usiache kutizama mechi zilizobakia
Tuunge mkono timu yetu tuweze kuchukua kombe hili
jamaa wameweka heshima hawa wazungu watakuwa na adabu sio kufunga watu 5-0 sasa hivi ngoma inabana hadi dakika za mwisho!!!!!!!
Brazil?
Hahahahahah hamna haiwezekani hapa nafsi yanambia leo ndo mwanzo na mwisho kutizama game.....nsijevunja tv tu lol
hakuna timu siipendi Kama France. Bora #TeamColombia .bado kuna timu za 'kiafrika' zilizofuzu .. Colombia & France
Utapigwa butwaa France itafika fainal,kama 2006 ilifika fainali watu waliidharau,isingekuwa red card aliyopewa Zidane basi fRANCE INGEBEBA KOMBETimu kama Algeria ilikuwa inastahili kabisa kuendelea kuwepo kwenye mashindano haya
Kuna timu Vibonde utashangaa kwanini zimeingia kwenye last 8 .... Timu hizo ni kama France