Labda ujeruman lakini portugal haitishi sana kumbuka hata Ghana wako Vizuri ndo maana wamepangiwa hapo ili kuwapunguza makali ila yote kwa yote nawaombea watutoe kimaso masoTatizo mkuu Ghana wetu wamepangwa kundi gumu sana hebu fikiria kuna portugal na Germany, Hivi hawa wazungu waliopanga hayo makundi wanatutakia mema kweli? Au kwakuwa wanaogopa moto wa Ghana wa 2010 usije ukawaka tena safari hii?
Hahahah kwamba hiyo siyo timu?are u serious? Tafta timu mapema!
Wamejipanga sawa sawa spaini mchezo wao ni ule ule ndo maana hata barcelona siku hizi anapigika vizuri tena ukimbana vizuri gor huwa nyingi kama ulivyoona jana,tusubiri mechi nyingine tuone ila jamaa hawana masiharaKaka tusubilie mech nyngne ya uholanzi utanipa jibu..spain ufatha mwngi..
Mbeleko yenyewe itadunda maana kuna nchi ziko vizuri umesahau south africa 2010 alibebwa mpaka ikashindikana
Pole sana rafiki najua hauko vizuri leo ila ndo mpira usijal
Saa moja jioni
Usijal tukimaliza hizo mechi si tunaweza kuanzisha ya kwetu ya netherlanads na spaini?poaaa twende wote baadae
Saa moja jioni
..spain ufatha mwngi..
Very very trueVishabiki vya holland vinafiki...villi kuwa kimyaaaaa vimejificha chimboni Kama michepuko vile kabla holland haijafunga. heeee baada ya holland kufunga vikaibuka Kama dengue from no where kila mtu holland holland....mhh vishabiki maandazi hehehehehe
mkuu humu inaonyesha wengi hawaitakii mema spain ila kufungwa kwa spain leo ndio kunamfanya spain mechi zote ziliobakia anahakikisha anashinda tena kwa magoli mengi spain anapita bila wasi toa shaka
spain mkishamvuruga Alonso mkamkaba Iniesta,mechi imeisha
matokeo jaman jana mechi ya chile nmeishia njiani wakuu