World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

JamiiForums uja update matokeo siku nyingi bana kiongozi wengine mechi za usiku mtihan
weka mambo sawa
 
Last edited by a moderator:
JamiiForums uja update matokeo siku nyingi bana kiongozi wengine mechi za usiku mtihan
weka mambo sawa
Aza kama upo Dar naomba uniukaribishe iftari nije kufturu maana hamna yyt rafiki yangu aliyenikaribisha!Nikaribisheni nije na udhu mpate thawabu bana!
Nipo Tandika Mabatini
 
Last edited by a moderator:
Umegundua kitu?

Robo fainali
France(7points) vs Germany (7points)-WINNER---> Matuta/France
Brazil(7pts) vs Colombia (9pts)-WINNER---> Mshindi Colombia
Argentina(9points) vs Belgium (9pts)- WINNER--->Matuta/Belgium
Netherlands (9pts) vs Costa Rica (7pts)-WINNER---> Netherlands

Colombia angekuwepo FALCAO mwaka huu ubingwa wao kiurahisi kabisa!
Falcao acheze 9,namba 10 angecheza James Rodrigruez na 8 angesimama Cuadrado,winga 2 ambazo zingecheza kama mido angekuwepo Ruiz na Jackson Martinez!Beki kama Zuniga na kiungo Zapata wasingekabika hawa watu
 
hata hivyo huu ni mwezi mtukufu hiyo " zaidi ya hapo" haiwezi kuwepo bila shaka...lol!!

Ahahaha DEMBA mwezi huu wana ndoa tu ndiyo wanaruhusiwa baada ya kufuturu tena inasisitizwa iwe kabla ya kwenda tarawei!
 
Last edited by a moderator:
Ben Arfa (Tunisia) - France
Paul Pogba (Guinea) - France
Karim Benzema (Algeria) - France
Samir Nasri (Algeria) - France
Govou (Benin) - France
Zinedine Zidane (Algeria) - France
Luis Nani (Cape Verde) - Portugal
Christian Benteke (DRC) -Belgium
Jerome Boateng (Ghana) -
Germany David Alaba (Nigeria) - Austria
Oguchi Onyewu (Nigeria) - USA
Angelo Ogbonna (Nigeria) - Italy
Dennis Aogo (Nigeria) - Germany
Okaka Chuka (Nigeria) - Italy
Gabriel Agbonlahor (Nigeria) - Scotland
Patrick Owemoyela (Nigeria) - Germany
Nedum Onuoah (Nigeria) - England
Patrick Vieira (Senegal) - France
Mousa Dembele (Mali) - Belgium
Romelo Lukaku (DRC) - Belgium
Sami Khedira (Tunisia) - Germany
Vincent Kompany (Congo) - Belgium
Danny Welbeck (Ghana) - England
Mario Balotelli (Ghana) - Italy
Mamadou Sakho (Guinea) -
France Bacary Sagna (Senegal) - France
Patrice Evra (Guinea) - France
El Shaarawy(Egypt) - Italy
Dirick Origi (Kenya) - Belgium
Ramires Makukula (Swaziland) -Brazil... Ongeza wa kwako niliemsahau

Mimi ndiyo maana nasema Afrika tuko juuuuuu!!!! ni mafisadi wachache tu wanatukwamisha,halafu huo msemo wenu wa kusema "miafrika ndivyo tulivyo" muache kabisaaaa, embu tuanze kujikubali kwanza sisi wenyewe ndipo na dunia itatukubali,tusipojipenda sisi wenyewe hata dunia haitatukubali na kila siku tutashindwa, jamani eee Mimi kama Mwafrika najikubali sana na soka tunaweza haswaaa!!!!!
 
Jamani ina maana Brazil yeye hatashinda? Basi kesho anashinda najiwekea Bounty ya BAN ya wiki kama ikitokea Brazil akatolewa kesho ndani ya dakika 90
 
Back
Top Bottom