leo BAK,kama kulia tutalia wote na kucheka pia tutacheka wote.
Hahahha na tusubiri dakika 90 na kama hazikuamua tutasubiri 120
Brazil wasipotolewa leo ntanunaaaaaaπ
Wakubwa mechi za Leo ni zipi
bora brazil wangeanza saa 1!!!!!
France vs Germany saa 1 jioni
Colombia vs Brazil saa 5 usiku
Thanx mkubwa,ngoja ninoe macho kabisaaa Leo nakula mapema na mzinga wangu wa nyagi kitaeleweka tu.viva German.
Brazil wasipotolewa leo ntanunaaaaaaπ
Ruksa kujifariji na kufarijiwa na kama refa akiwa refa kweli basi leo brazil bye bye, till the next tournaments.
Tupo pamojaLeo Brazil wajiandae kisaikolojia tu,
leo nashabikia weusi wa ulaya,kina Pogba pia Brazil.
Bora uanze kununa mapema mchezo ukianza tayari una uzoefu wa kununa ππ, Brazil leo anaibuka na ushindi 3-2