World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Mkuu Ujerumani na Brazil nusu fainali

Nakataa ila kama ikiwa hivyo basi Germany atapata wasaa mzuri wa kujilipizia kisasi cha 2002 kwa kushusha kipigo cha mbwa mwizi. My hope is that Germany anakutana na Colombia nusu fainali.
 
Ingawa naona wengi wanatupa karata yao kwa roho ya paka (Germany), ndoto zangu zinasema wanabeba mabegi kurudi n'mbani usiku huu. Ingawa sipendi watoke maana mashindano yatadorola, France watapooza huko mbele.
 
Huyu "shabiki jina" katka hili tangazo la Coca Cola si haba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…