Mkuu Ujerumani na Brazil nusu fainali
Hao wote wakoloni,mkoloni yupi sasa anaeingia semi final?Wakoloni leo hao mdogo mdogo wanaingia semi final.
Navyomuona Mwalimu Alex Kashasha Wa
T.B.C 1 Ni Mzuri Zaid Kwenye Uchambuz Wa
Soka On the Pitch Kuliko Dr Leaky Ambaye
Ame Base Zaid Kwenye Historia Ya
Wachezaj..Naona Kashasha Anaweza
Kugundua Haraka Madhaifu Ya Team Ndan Ya
Dk 90.
#team france mko wapi??
Ujerumani ni wazoefu,wachezaji wengi wamecheza kuanzia WC 2006Hii mechi haitabiriki ila nawapa nafasi kubwa German kushinda.
Hao wote wakoloni,mkoloni yupi sasa anaeingia semi final?
Sijambo kabisa mwanangu,leo mimi team France,Ila naona Joachim kamuweka Klose anaanza leo,pale Shwain bila kumsahau ozil na ule uzoefu wao,hapa kama vile Germany anapitaMama hujambo? leo timu gani
Pamoja!Wajerumani tujuane mapema ili tupeane mioyo,Haya me wakwanza who s next?
Wajerumani tujuane mapema ili tupeane mioyo,Haya me wakwanza who s next?
Wajerumani tujuane mapema ili tupeane mioyo,Haya me wakwanza who s next?
Sijambo kabisa mwanangu,leo mimi team France,Ila naona Joachim kamuweka Klose anaanza leo,pale Shwain bila kumsahau ozil na ule uzoefu wao,hapa kama vile Germany anapita