Mkuu MEANDU Cassilas mbovu makosa aliyo yafanya kwenye fainal ya UEFA dhidi ya Atletico kutoKa golini aliya endeleza jana.ameamini sasa kwanini jose mourinho alikuwa hampangi na watu wakasema anachuki binafsi lakini jana wadau wengi nimeteta nao wanasema jose alikuwa sahihi kabisa casilas ni galasa kwa sasa.
Kudadadadeeeki tumekoswakoswa tena. Hiki kibabu nuksi.....
Hili kundi la Colombia,Greece,Japan na Ivory Coast wote kama wanalingana uwezo
Kwenye kundi ivory coast anafuzu kiulaini sana!
kwa sasa Spain hakuna timu hasa beki 4 na 5 hakuna kabisa yaani ni uchochoro pia bingwa mtetezi kwa miaka ya karibuni huwa havuki makundi,mnakumbuka 2002 France alitolewe kwny makundi,2010 Italy hakuvuka hatua ya makundi.
Nakuunga mkono!
Pia ikumbukwe, kule Afrika Kusini, Hispania walifungwa mechi ya kwanza 1-0 na Uswiss, timu ambayo watu hawakutegemea ingeifunga Hispania. Bado mapema sana, na Hispania bado ni moja ya timu zinazotegemewa kuchukua ndoo msimu huu lisha ya hiyo dhoruba!
Nakubaliana nawe but Javi Martinez angeweza kuziba pengo la Alonso ni mzuri sana kucheza mbele ya centre back
ngumu si kiulaini,Colombia wako fiti,Japan huwa wanaattack ile mbaya utawaona,halafu Greece wao wapo fiti kwenye defenceKwenye kundi ivory coast anafuzu kiulaini sana!
Hao japan wako vizuri sana.Hili kundi la Colombia,Greece,Japan na Ivory Coast wote kama wanalingana uwezo
Kundi hili Japan na Ugiriki watafuzu.ngumu si kiulaini,Colombia wako fiti,Japan huwa wanaattack ile mbaya utawaona,halafu Greece wao wapo fiti kwenye defence
Japan wao ni rahisi kufungwa halafu sasa na wao wanavyomimina magoli ni sooHao japan wako vizuri sana.
Mkuu makanchara goli hilo ni goli bora kabiSa kwenye mashindano haya.