World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Hizi ndo huwa naziita sub za kizushi dk arobain na usee nini manayake?
 
Afu goal 1 kama la Nguruwe huwa linauma sana..


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Kocha wa ufaransa ameamua bora iwe noma, ameshauza vijiko na vikombe sijui maji atanywea nini?
 
Kazi nzuri Dechamps,tutachukua kombe Euro cup 2016,France wamejitahidi sana,wamefika robo fainali,baada ya kumaliza vibaya 2010
 
View attachment 168909
Sema hata Ulaya wanachakachua huyo kushoto ni Lalana ana miaka26 sasa mcheki huyo mwingine mwenye koti kulia ni Diego costa ye ana miaka25,,,teh teh teh wakat anaonekana 33 kabisa


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app

hahahaha wa 26 mbona age kama imeenda saana..... kuna picha moja niliona wa mchezaji kutoka Nigeria nae nilicheka sana... sijui ka unamjua
 
dakika hizi wale wa "mwenge mwenge.....tegeta...." ndo hao....
 
Hivi kweli hakukuwa na "mkono" wa France pale...?nakumbuka nusura De Lima afe akicheza na hawa hawa...

hiyo ilikuwa 1998 almaarufu kama France'98, jamaa waliloga kabisa mwanzo wa gemu walipita kunguru sijui njiwa? Wacha miguu ya de Lima iwe mizito, hawa jamaa we waache tu.
 
Kazi nzuri Dechamps,tutachukua kombe Euro cup 2016,France wamejitahidi sana,wamefika robo fainali,baada ya kumaliza vibaya 2010

Ulisoma ufaransa?Naona una uchungu nayo au Muha ulikutana nae huko?
 
Back
Top Bottom