World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Scolari amtoe Neymar kuepuka yellow card coz akipewa tu Misses next match kama Silva
 
Nilisema toka zamani colombia ndani ya dk90 atakuwa amefungashiwa virago raia kibao wakabisha!
Colombia alionekana mwamba kwa sababu alikutana na team vibonde kujumlisha na Uruguay ya bila Suarez ndo kabisa.Germany atatolewa na Brazil
 
Columbia wamekata tamaa mashabiki nao hoi

Shakira mjanja alijua Columbia hawawezi kuchomoa hii game ndio maana akaja na ahadi za kutembea uchi barabarani
 
Luiz na Silva wanavyokumbatiana mmmh ingekuwa mitaa ya nilipo watu wangesema vingine.
 
Back
Top Bottom