World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

ule mpira ulishatoka nje, Neymar mbio za sakafuni.
 
daaa Brazil wanakosa goli hapa.
 
Wakuu naomba nipatiwe link ambayo naweza kuona mechi zote za kombe la dunia Brazil 2014 kwa kutumia komputa yangu,asanteni.:sad:
 
Sipati picha brazil wakitolewa katika hatua ya awali, sijui kama nchi itakalika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…