World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

LoL!!! Hahahahaha nakumbuka banaaaa jinsi ulivyokuwa ukilalama.

Duh na mgongo unavouma niulize mie.. unaweza nyanyua miguu unahisi kama kama kiuno linatengana na mwili
 
Mtachonga sna hyo ndo brazil. Wakuuuu wametmwa ndoo wale bora wafke final waikose kulko kutokufka,mechi ztakuwa hazichezwi mjueeee


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
Fainali ya Brazil na Argentina inanukia...!

Yaani hii ikitokea nitafurahiaje? Yaan tutapata soka zuri sana maana kila mmoja atapenda kumuonyesha mwenzie kwmb yeye ni zaidi, na hizi nchi kisoka zina uhasama mkubwa sana.
 
Reactions: BAK
katika timu inayo pitia njia ngumu kwenda final ad saiv ni BRASIL...inaonekana dhaifu ila ndo inazidi kwenda tu..#team brasil since chekechea
 
Yaani hii ikitokea nitafurahiaje? Yaan tutapata soka zuri sana maana kila mmoja atapenda kumuonyesha mwenzie kwmb yeye ni zaidi, na hizi nchi kisoka zina uhasama mkubwa sana.


Argentina wataweza kuvuka mbele ya Uholanzi ya akina RVP na Roben??

Nahisi kama tutakuwa na mtanange wa Brazil na Uholanzi!
 
Na kadri #TeamBrazil wanavyosonga mbele ndiyo wanavyozidi kuwa wazuri.

katika timu inayo pitia njia ngumu kwenda final ad saiv ni BRASIL...inaonekana dhaifu ila ndo inazidi kwenda tu..#team brasil since chekechea
 
World Cup final ikiwa Brazil VS Argentina/Netherlands itakuwa poa sana.

Yaani hii ikitokea nitafurahiaje? Yaan tutapata soka zuri sana maana kila mmoja atapenda kumuonyesha mwenzie kwmb yeye ni zaidi, na hizi nchi kisoka zina uhasama mkubwa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…