mabesela
JF-Expert Member
- Mar 14, 2014
- 1,294
- 680
Sure, why not?
Lakini so far sijaona kiwango wala lile samba la kibrazil kuniconvince otherwise, team inacheza ikimtegemea sana Neymar, huruma za marefa na undava kama jana
Ujerumani so far wamequalify kutoka kwenye kundi gumu na wamekutana na mitahani miwili mitatu mpaka sasa, lakini wameweza kuhold their nerves na kupata matokeo bila kutumia dark arts kama Brazil
Una chuki sana na brasil lakin ndo timu itakayobeba ndoo hili na wamefika hapo kwa nguvu zao binafsi bila kubebwa na white pig hao watakalia 3 au zaid.