World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Angalia pia Argentina ya 1986-90 iliyompa umaarufu Maradona ilikuaje!Angalia pia magoli yake alifungaje!!Angalia assist za mtaalam Buruchaga!!

Messi yupo pekee yake lkn team anaipeleka nusu fainali!Maradona alikuwa na mafundi kama Cannigia;Valdano na Cabesona huku golini akiwa hana wasiwasi maana yupo Neil Pompidou!

Maradona alienda kwa pesa nyingi mno Napoli aliwapa ubingwa mara moja tu no Champion League wala Uropa!!Messi akibeba kombe hili atakuwa kabeba kila kombe kubwa duniani!Hizo ni fact sio blah blah

sasa tupo page moja. hadi hapo umekubali kiwango cha soka kimeshuka, umekiri kulikuwa na mafundi enzi za maradona. pamoja na hayo bado maradona alikuwa superstar wao.
Hivi ungemshusha Messi huyu na mpira wake huu kwenye timu aliyokuwamo maradona angeonekana ni star? angefunikwa vibaya mno, tena ingewezakana angekaa bench au asiitwe kabisa timu ya taifa.
 
hawa costa rita inabid tuwachape ndani ya 90 mana joto wanaliweza wao
 
hawa costa rita inabid tuwachape ndani ya 90 mana joto wanaliweza wao
 
sasa tupo page moja. hadi hapo umekubali kiwango cha soka kimeshuka, umekiri kulikuwa na mafundi enzi za maradona. pamoja na hayo bado maradona alikuwa superstar wao.
Hivi ungemshusha Messi huyu na mpira wake huu kwenye timu aliyokuwamo maradona angeonekana ni star? angefunikwa vibaya mno, tena ingewezakana angekaa bench au asiitwe kabisa timu ya taifa.

Mkuu!
Argentina ile hata huyu Chuji wetu au John Bocco angeonekana mtaalam tu!Unacheza na Burruchaga;Cannigia;Valdano;Cabesona ni vipi using'ae?

Messi anacheza na madudu matupu akina Lavezzi
 
Mwangalieni huyu kocha wa Costarica ana kichaa huyu!Unamtoa mchezaji anayelindwa na mabeki 2?Unawapa sasa nafasi Holland waende wengi mbele kusaidia mashambulizi
 
Haya Malafyale ulisema Messi lazima atupie .... hakuweza

Ukasema kuwa Campbell lazima awalize ... huyo mpaka wamemtoa hajatupia

Who next?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom