:A S-devil4::A S-devil4::A S-devil4::A S-devil4::A S-devil4: ,Angalieni vizuri brazil wameanza kuchanganyikiwa ,data na rada zangu zinaniambia hapafungwi tena goli mpakakwenye ngwe ya pili ,kwa ufupi brazili hagusi mpira ,hivyo kaeni vizuri mtazame jamaa wanavyofundisha boli hamna kipaji wala talent mnadanganyana hapa bongo ,maana kila mtu siku hizi utamsikia ana kipaji ,wengi wa wanaosema hivi hawakuenda shule ,jamani wenye elimu na wasio na elimu ni vitu viwili tofauti ,kama kama kocha wennu nyie maburazili hakuenda kuomba msamaha wakati wa halftime basi kila mmoja atapata goli lake ! Niliwambia hayapungui chini ya manne kabla ya msaa manne mpira kuanza.