Basi yaishe baba rudi nyumban
Kufungwa kama netball nayo noma
Mabeki wenu wanapotezana sana
Leo sirudi nyumbani nampa adhabu mke
Pole wangu mimi nimejikubali hii game si yetu tena,tukubali tu.
Kutakuwa na mazishi mengi sana huko brazil
Dah!!!! Mie wala sielewi, yaani pengo la wachezaji wawili ndiyo timu iwe midebwedo hivi!!!! Hata Ghana waligangamara na karibu wawaadhiri hawa Wajerumani, raha ya mchezo tupa kuleeeee duh!!!!!
Dah!!! Kweli Katavi ni janga la kila Team kwenye mashindano haya 🙂🙂
brazil tunarudisha haya magoli
nasikia magoli manne ni ya offside, yamekataliwa ila tu ubaoni hawajaondoa. :cool2:
Tunaangalia bao