palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,459
Mimi kazi yangu leo ni kuhesabu magoli tu, sitaki kukomenti kitu.
hahahahahahah leo mie niko na mkuu mourihno tunashangilia watoto wa anjela . wanpaswa kwenda fainali na kuchukua kombe. kumbuka ujerumani imefika nusu fainali mara 4 mfululizo (2002, 2006, 2010 na 2014). Mwaka 2002 brazil alimfunga ujerumani kwenye fainali 2-0.