hahahahahahah leo mie niko na mkuu mourihno tunashangilia watoto wa anjela . wanpaswa kwenda fainali na kuchukua kombe. kumbuka ujerumani imefika nusu fainali mara 4 mfululizo (2002, 2006, 2010 na 2014). Mwaka 2002 brazil alimfunga ujerumani kwenye fainali 2-0.
Arsenal hawajawahi kufungwa magoli haya yote na Bayern. Labda useme Arsenal na Man Utd, City, Liverpool, Chelsea. hata hivyo Brazil watavunja rekodi kipindi cha pili, watafungwa mengine 4.
Nilikuwa na furaha leo siku nzima, mambo yalikuwa bumbum kheee, sikujua kama Brazil wataniharibia siku kirahisi hivi.
Tena ndani ya dakika chache, aaah hii ni historia mbaya wamejiwekea, tena home kwao.
Ndio itakuwa habari ya dunia hii.
Asante German kwa kututawala mmefanya mengi Tanganyika asante Mara 100 sababu brazil walitufunga 5-1 na hatukujua lini tutarudisha asante baba yetu mkoloni kwa kutusaidia