World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Hapa Ref. kacheza rafu aisee.
BsX7XimCcAARj4T.png:large
 
Bhana usieke picha mbaya kamchina kangu kanaload sana! Kama vipi weka warembo wa kibrazil and/or wakiholand tusafishe macho! Kazi na dawa bhana!

hahahaa mshapata mawili then mpate dawa

Brazil wamakimbia na mpira hao wakipata full kukimbia hawatulii hata na mpira.
 
Mie si mtu wa kuhama hama ila kama kuna team mbili zinacheza ni lazima kuwe na mojawapo ambayo nitapendelea kuiona inashinda. Kama mechi ya kesho napenda Argentina washinde lakini sitakuwa na pressure yoyote ukilinganisha kama ingekuwa ni Brazil na Argentina.

Ni penalty lakini...ila kuna dalili ya ushindi

Leo team gani wewe na BAK kwa kuhama hamjambo
 
Back
Top Bottom