World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Jamani huo mpira sa ngapi nikacheck mess atakavowafumua wakoloni.
 
Hela ya bure hiyo dada tuichukue tukaimalize Bar!Argentina HAWANA Neymar wala Gustavo;Fred wala Bernad ambao ni watu wa mbele wa hovyo hovyo kabisa kupata kuichezea Brazil!!
Germany Jumapili itakutana na Di Maria;Aguero;Enzo Perez;Lavezzi;Higuaini na Massiah Messi ambao individually wanaweza badili matokeo popote pale duniani!

Team Argentna


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
BsbtXeuCUAIh7Cm.jpg
 
everlenk come up my darling, u-timgani nikusupoti leo, yenye side utakuwa basi namimi pia.

Ukuje tujumuike kwa pitch muda ikifika, hope umenisoma.
 
Last edited by a moderator:
As ussual ur their for me

Hon Chaki


Njoo topgarage tulenyama ya swala
 
Back
Top Bottom