World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Kuna timu hazibadiliki mpira,croatia wagumu..daah penati goo Neymaaar kadogoo!kaka kampiga picha
 
dah! sijui watu wafanyeje mpira uwe more fair aisee! Inankumbusha hand ball ya suarez against ghana south africa! dah! nikaacha kuangalia na mpira mwaka!
 
Hmmm...ile penati hawakustahili kabisa!

Hivi inakuwaje kwenye soka hakuna coach's challenge kama ilivyo kwenye American football?

Huu mchezo uko nyuma sana kimaendeleo!

Goal line technology yenyewe wametumia miaka kuiruhusu licha ya timu kudhulumiwa magoli.
 
Duh! Wanazi wa goons, neno kubebwa limewaganda kama alivyowaganda kocha wenu Arsene Chenga!

Mjapan lazima atakuwa mnazi wa United na anadhani yupo Old Trafford jinsi anavyoibeba Home team. Penati gani ile ya kutoa?
 
Back
Top Bottom