Samahani na Mie pia sina Kama kunamtu anasema amuwekee.Ha ha haa!hili ni jibu muafaka kwa Kitoabu,ila sijui kama amekuelewa.mheshimiwa Pazi haya mautundu ya mapicha sina,kama wewe unayo,hebu naomba muwekee Kitoabu picha za vikosi vya kombe la dunia vya Algeria(from Africa) na Belgium(europe),halafu atuambie katika mechi hiyo atashabikia timu gani!please,weka picha ili watu wamwelewe EMT.,ha,ha,haa!kitoabu umeshikwa pabaya mnoo!nakusubiri nione utachomokea wapi!jf bhana raha sana!



