Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kuwa kaimudu? Red card ya kujitakia kabisa ile.
Hahahahahuyo ngamia itakua kalishwa mirungi...
Du! Hivi inaruhusiwa kufanya alichofanya Pepe?
Jana Pogba alistahili red card kabisa,sema refa akampa yellowNdio mkuu hasa pogba,ballote na pepe.. ni wanywaji wazuri wa viroba
Upumbavu kabisa ule.Ule aliofanya Pepe ni ujinga wa kijinga.
Pepe mshamba.Katika 5 star mpaka sasa sijampa hata 1
Hapana wala haogopi kuumia uwezo mdogo mbele ya Ujerumani, timu ya Ureno hawaiwezi Ujerumani tusimtafutie kivuli Ronaldo,Yaani mie naamini leo hawa watu watajuta hayo magoli maana Cristiano nae sidhani kama atacheza muda wote anaogopa sana kuumia huyu mtu
Labda kipindi hiki cha pili watachomoa...
namfananisha na haruna Moshi Boban.Pepe mshamba.
Jamaa hayuko sawa kabisa.CR7 mtoe ajiandae na game ijayo!Game imeisha hii
Mkuu naomba kutofautiana, Pepe kaitafuta red card mwenyewe, ile ya kwanza ya Muller kujiangusha ni sawa kabisa, Muller angepewa kadi ya njano lakini kitendo cha pepe kumfuata Muller pale chini na kutaka kumpiga kichwa kinastahili kadi nyekundu X2, alikua na haja gani kufanya vile?
kipindi cha pili kinakwenda kuanza Ronaldo ana huzuni sana.