World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Naanza kuelewa kwanini Mmarekani hachoki kumchokonoa muirani. Hawa jamaa wana sanctions hali ndio iko hivi. Wana jeuri kama marais wao. Duh!
 
According to fifa.com Messi Lionel is the man of the match,

Je ni sawa??
 
Ujerumani wakikutana na ARG wanampa mtu mkono

Germany hamfungi Argentina hata refa awe German!
Boateng,Humels na huyo beki wa Arsenal wazito sana,watakuwa wanafika wkt Messi na Aguero wameisha nyanyua mikono wanashangilia wapo kwenye kibendera
 
Germany hamfungi Argentina hata refa awe German!
Boateng,Humels na huyo beki wa Arsenal wazito sana,watakuwa wanafika wkt Messi na Aguero wameisha nyanyua mikono wanashangilia wapo kwenye kibendera

Kule Sauzi walipigwa goli 4 na wote hao walikuwepo
 
Line up Ghana Vs Germany

Ghana XI vs Germany: Dauda, Gyan, Atsu, Boateng, A Ayew, Muntari, Rabiu, Mensah, Asamoah, Boye, Afful

Germany XI vs Ghana: Neuer, Howedes, Hummels, Khedira, Ozil, Muller, Lahm, Mertesacker, Kroos, Gotze, Boateng

Ndugu wa Damu team za taifa tofauti
 
Naanza kuelewa kwanini Mmarekani hachoki kumchokonoa muirani. Hawa jamaa wana sanctions hali ndio iko hivi. Wana jeuri kama marais wao. Duh!

hawa jamaa asili yao ni vichwa, sio kama wenzao wa nchi jirani zao.
 
[h=3]Mourinho heaps praise on 'amazing' Suarez after striker's World Cup heroics against England[/h]
p7-mourinho.jpg


Hivi huyu mtu anatafuta kipigo Uingereza
 
[h=2]Never judge a nation by the size of its entourage[/h]
 
Line up Ghana Vs Germany

Ghana XI vs Germany: Dauda, Gyan, Atsu, Boateng, A Ayew, Muntari, Rabiu, Mensah, Asamoah, Boye, Afful

Germany XI vs Ghana: Neuer, Howedes, Hummels, Khedira, Ozil, Muller, Lahm, Mertesacker, Kroos, Gotze, Boateng

Ndugu wa Damu team za taifa tofauti

theory imekuwaje
 
Kuna team zinaandaliwa mazingira na FIFA wakisaidiana na waamuzi wao, hebu imagine faulo aliyofanyiwa Dejagah angefanyiwa mshambuliaji yeyote wa Argentina kama isingekuwa penati na red card.

AIBUUU AIBUUU
 
Back
Top Bottom