Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Timu za afrika hata zikipita na kuingia katika 16 bora hamna la maana zitalaloleta zaidi ni aibu tu.
Fifa hawaamini ushindi wa Costa Rica kwa mechi zao,juzi walipoifunga Italy mechi ilipoisha wakaenda kuwapima wachezaji wa Costa Rica ili wajue kama walitumia madawa ya kuongeza nguvu yaani hawaamini