DonDonald
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,533
- 2,709
LOL ningekuwa Bar wangenimwagia bia, nimetoka barbershop nkasema nataka wafungwe jamaa wakaanza kunishambulia.
Dah mambo yamebadilika siku hizi mpaka masela wa kwenye barbershop wanapenda soccer
Hivi yule mshikaji wa kule OK sijui na yeye ni #TeamUSA ?