World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Jamani tuwe wakweli,kwa sasa duniani kwa kunyaka Brazuka/Jabulani hamna kama Tim Howard!Hakunaga
 
Fact: It's the first time in Fifa world cup history that all 8 group winners advance to the quarter final
 
Fact: Nine of the last 10 world cup teams to advance after playing extra time were eliminated in next round

Should Brazil, Costa Rica, German, Belgium & Argentina be worried?

Still #teamBrazil
All the way to the final stage
 
Colombia na Chile nilitamani ziwe timu kutoka Africa..hawa watoto wanajituma
sana na hawana ubishoo wa kitoto kama timu za Kiafrica. Binafsi nasema hizi
timu zimeonyesha mfano wa kuigwa....

Colombia ndio wamebaki nitawashangilia kwa nguvu zangu zote mpaka mwisho
lakini Chile walikufa kiume hongereni sana ninaamini tutakutana tena 2018 kule
URUSI (rassia 2018) kombe jingine la Dunia.

Hizi nilitamani zitoke Africa, wana uzalendo mkubwa sana kwa nchi zao...

Mandla,
Wa Dodoma.
 
Hapana mkuu, brazil ikitolewa angalau mashindano yatakua huru, hakutakua na kubebana yaani hata wachezaji na marefarii watakua huru kabisa.

Hakuna haja ya kubebwa, Brazil inao uwezo wa kufika fainali bila kubebwa. Go go Brazil, kombe ni letu hawa wengine ni wasindikzaji tu, 'si unajua ndugu yangu katika msafara wa mamba na kenge wapo' (Mashishanga, 2005).
 
Mimi ni timu shabiki wa Brazil najua final tutafika tusipofika Invisible nipe BAN ya mwezi mmoja
 
Last edited by a moderator:
Lakini kumbuka pia kwamba hata wanapokosea ama kuharibu huendelea kushangiriwa, tena kwa nguvu zaidi, hawazomewi na washabiki wako. Wewe unaweza hilo, au unataka kuwaharibia tu?
 
Fact: Tim Howard is a beast! his 16 saves were the most by any keeper in single Fifa World Cup game since 1966
 
Mdachi huyu aliyetepeta kwa Mexico hadi kupita kwa penati ya"msukule"?Hamna mechi itakayokuwa rahisi kwenye robo fainali kama ya Costarica na Mdachi hasa alipoumia De Jong!

Joe Campbell hawaachi hawa wachovu
Sijui nikuwekee dau mechi hio....?maana naona una hamu ya kutengana na hela zako!
 
1.emanuel neuer(germany)
2.daneil van buyten(belgium)
3.de vrij(holland)
4.david luiz(brazil)
5.thiago silva(brazil)
6.paul pogba(france)
7.thomas muller(germany)
8.valguena(france)
9.james rodriguez(colombia)
10.neymar(brazil)
11.arjen robben(holland)

subs
vicent enyama(nigeria)
thomas varmelen(germany)
jonathan mensah(ghana)
marcelo(brazil)
lionel messi(argentina)
alexis sanchez(chile)
mesuti ozil(germany)
robin van persie(holland)
poulhinho(brazil)
 
Back
Top Bottom