World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Costa Rica wanasumbua mahakama tu lakini kifungo kiko palepale


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Mhu hu huu,golini Nery Pumpido, Sergio Goycoechea,mhu hu huu,Sergio Batista mhu hu huu,Abel Balbo mhu hu huu,jamani haya majina mengine kwa heshima na taadhima munatakiwa muyataje full,yaani "Jorge Luis Burruchaga","Diego Armando Maradona Mkono","Claudio Paulo Caniggia Upepo,teh teh,wacha kabisa these beasts!

Mkuu acha tu...hao walikuwa wanaume wa soka na shoka pia.
Itabidi kuwe na thread ya historical games za WC za zamani.
 
America ya kusini nao huwa wana technology ya kuruka na fagio usiku wa manane.
 
Holland hawajawahi kushinda match ambayo inaenda hadi Extra Time.
Wakishinda leo ndio inakuwa mara ya kwanza katika WC
 
Holland hawajawahi kushinda match ambayo inaenda hadi Extra Time.
Wakishinda leo ndio inakuwa mara ya kwanza katika WC

Historia hizo kama unavyoona England alivyo chukua WC


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom