Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katavi kunani tena? mbona wapewa pole!
siangalii ndio
DEMBA unapaswa ufaham kwamba tangu tumeanza mashindano, tim atakayoshabikia Katavi hufungwa.
Hakuna tim aloshabikia imefanikiwa kushinda mchezo kwa hii world cup 2014, najana Katavi alijifichaficha
mwishowe akasema ukweli anashabikia Costa Rica tukamwambia baasi costa wametoka na kweli costa rika wameaga.
Hivyo anapewa pole [MENTION]Katavi[/MENTION].
1.emanuel neuer (germany)
2.de vrij (holland)
3.marcelo(brazil)
4.david luiz(brazil)
5.thiago silva(brazil)
6.paulinho(brazil)
7.memphis depay(holland)
8.mathie valbuena(france)
9.james rodriguez(colombia)
10.lionel mess(argentina)
11.arjen robben(holland)
Kipenzi cha wanangu,Mungu akuponye haraka Neymar,urudi kazini
Anaye mkaribia Messi hapo Belgium ni Kompany na Hazard sio Origi bana
Holland wanachukua ndoo hiyo mwaka huu
Mkuu mwisho wa team za Ulaya ni Jumanne na Jumatano period!!
Acha hizo bwana,Davdi Luiz yupo,tena ndo atakuwa anapiga mipira ya adhabu,sema Neymar ndo huwa anasababisha ipatikane,Im sure Shwaintaiger angemkaba sana Neymar na kusababisha faulo kibao,any way hata bila Neymar Brazil watashindaKwaheri Brazil
Acha hizo bwana,Davdi Luiz yupo,tena ndo atakuwa anapiga mipira ya adhabu,sema Neymar ndo huwa anasababisha ipatikane,Im sure Shwaintaiger angemkaba sana Neymar na kusababisha faulo kibao,any way hata bila Neymar Brazil watashinda