Shedafa
JF-Expert Member
- May 21, 2008
- 802
- 175
World cup iliyopita 2006 kulikuwa na mgawo wa umeme wa kufa mtu, sijui world cup hii itakuwaje. Nakumbuka ilikuwa nihame nilipokuwa ninaishi siku chache kabla ya kuanza kwa mashindano lakini nikaminya, kwa sababu nilipokuwa nahama angalau kulikuwa na nafuu kidogo ya mgawo kuliko nilipokuwa nahamia. Niliminya hadi mashindano yalipoisha ndio nikahama. Sijui safari hii itakuwaje, sijui tutapata bahati ya kuiona bila zengwe!