Mpendanchi-2
JF-Expert Member
- Apr 4, 2009
- 304
- 38
PLEASE BE ADVISED ..........................
Dar es Salaam and Tanzania is hosting the World Economic Forum this week. Reports are coming in about possible closed roads. The Swahili service of the BBC reported a closure of the airport road and some other roads from 7 to 3:30 tomorrow. At least one government minister has said that some roads will be closed for three hours in the morning and three in the afternoon.
Ali Hassan Mwini will be closed from 7 - 9 am and from 4 - 7 pm tomorrow through Friday.
And that Mlimani will be completely closed all of those days, plus the airport road may be closed as needed.
Knight Support will endeavour to ensure that ALL alarms are reponded to in a tiemly fashion but please bear the above in mind.
Regards
Rhona ( source BBC Swahili)
Jamani hii serikali ndiyo kusema ina Support mgomo wa wafanyakazi kwani kama zitafungwa kuanzia saa 7 - 9.00am na huo ndiyo muda wa wafanyakazi kwenda kazini maana yake watu wa kule Bunju, Mbezi hatutakwenda kazini !!! tukitoka saa tatu tutafika saa sita kazini, na saa 10 wanafunga tena njia hivyo ili kuwahi kabla hawajafunga njia tuwe tumepita mwenge na ubungo inabidi tuondoke kazini saa saba au saa nane !!!! Working hrs ni 3 hrs!!, Je, hapo si tayari serikali imeruhusu mgomo watu tubakie homeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!.
Kwa nini kusiwe na planned root ya hao wageni ambayo haitaharibu mfumo mzima wa wafanyakazi na shughuli za kiuchumi. Naamini watu hawajafanya Homework zao!! There is a solution more than clossing the roads.
Dar es Salaam and Tanzania is hosting the World Economic Forum this week. Reports are coming in about possible closed roads. The Swahili service of the BBC reported a closure of the airport road and some other roads from 7 to 3:30 tomorrow. At least one government minister has said that some roads will be closed for three hours in the morning and three in the afternoon.
Ali Hassan Mwini will be closed from 7 - 9 am and from 4 - 7 pm tomorrow through Friday.
And that Mlimani will be completely closed all of those days, plus the airport road may be closed as needed.
Knight Support will endeavour to ensure that ALL alarms are reponded to in a tiemly fashion but please bear the above in mind.
Regards
Rhona ( source BBC Swahili)
Jamani hii serikali ndiyo kusema ina Support mgomo wa wafanyakazi kwani kama zitafungwa kuanzia saa 7 - 9.00am na huo ndiyo muda wa wafanyakazi kwenda kazini maana yake watu wa kule Bunju, Mbezi hatutakwenda kazini !!! tukitoka saa tatu tutafika saa sita kazini, na saa 10 wanafunga tena njia hivyo ili kuwahi kabla hawajafunga njia tuwe tumepita mwenge na ubungo inabidi tuondoke kazini saa saba au saa nane !!!! Working hrs ni 3 hrs!!, Je, hapo si tayari serikali imeruhusu mgomo watu tubakie homeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!.
Kwa nini kusiwe na planned root ya hao wageni ambayo haitaharibu mfumo mzima wa wafanyakazi na shughuli za kiuchumi. Naamini watu hawajafanya Homework zao!! There is a solution more than clossing the roads.