mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Kuna Nani?
Binadamu wa Kwanza kuumbwa alikuwa Nani? alitahiriwa?
Binadamu wa Kwanza kuumbwa alikuwa Nani? alitahiriwa?
Kwenye biblia hakuna nabii adam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye biblia hakuna nabii adam
Akhy mjadala umeuendesha vizuri na unajenga hoja zenye mantiki.Kuna Nani?
Binadamu wa Kwanza kuumbwa alikuwa Nani? alitahiriwa?
Allah alivyosema Abraham alijitahiri kwa shoka , unatuambia alikiwa anamkosea adabu Abraham?Akhy mjadala umeuendesha vizuri na unajenga hoja zenye mantiki.
Ila nakukumbusha akhy ni vema kuachana tu na mjadala huu maana hauna tija yoyote.
Plus ni kumkosea adabu mtume swalla llahu allaihi wasallam,na hailingani na hadhi yake kumjadili kwa jambo kama hili, ambalo linachukiza hata kurudia kulitaja.
Hivyo dhihaka za huyu kafiri wala hazibadilishi chochote katika haqi.
Hivyo ni vyema kumpuuza.
Akhy huyu jamaa ni poyoyo kabisa, hata kumuita mustashriq ni kama kumpaisha, maana mi nadhani hao mustashiriqiina huwa wanasoma kwelikweli ili waje na masuala sensitive katika dini, na sio upuuzu anaoleta huyu.Hawa ni wale mustashriqiina,lengo la kufuatilia yaliyomo.ktk din ni kufanya upotoshaji
Mfano angalia jinsi anavyodhihirisha ujinga wake kwa swali aliloniuliza hapo juu.Hawa ni wale mustashriqiina,lengo la kufuatilia yaliyomo.ktk din ni kufanya upotoshaji
Ona ulivyo mjinga , Muhammad alikuwa haongei jambo Kwa utashi wake mnatuambia alikuwa anatoa Kwa Allah , apa wewe unakuja kusema hajatoa Kwa Allah ila ni maneno yake MuhammadMfano angalia jinsi anavyodhihirisha ujinga wake kwa swali aliloniuliza hapo juu.
Ameleta hadith kutoka katika Sahih Al Bukhariy, halafu ananiuliza Allah aliposema....!
Yaani wala hajui kuwa hiyo ni hadith ya Mtume swalla llahu allaihi wasallam, na sio maneno ya Allah subhanah.
Muhammadi ndio Allah mwenyewe.Ona ulivyo mjinga , Muhammad alikuwa haongei jambo Kwa utashi wake mnatuambia alikuwa anatoa Kwa Allah , apa wewe unakuja kusema hajatoa Kwa Allah ila ni maneno yake Muhammad
Soma hapa na husirudie tena kasome ujinga ukutoke
33:36. Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Allah na Muhammad wanapo kata shauri katika jambo lao.
Ndio ukweli , Muhammad ndie allah akisaidiwa na wale majini walioweka surah yaoMuhammadi ndio Allah mwenyewe.
Kwa sababu umedai sio Allah ni Muhammad,unatakiwa uje ujibu muhammad alijuaje Abraham kajitahiri?Mfano angalia jinsi anavyodhihirisha ujinga wake kwa swali aliloniuliza hapo juu.
Ameleta hadith kutoka katika Sahih Al Bukhariy, halafu ananiuliza Allah aliposema....!
Yaani wala hajui kuwa hiyo ni hadith ya Mtume swalla llahu allaihi wasallam, na sio maneno ya Allah subhanah.
Maneno ya Allah subhanah ndio QURAN.Ona ulivyo mjinga , Muhammad alikuwa haongei jambo Kwa utashi wake mnatuambia alikuwa anatoa Kwa Allah , apa wewe unakuja kusema hajatoa Kwa Allah ila ni maneno yake Muhammad
Soma hapa na husirudie tena kasome ujinga ukutoke
33:36. Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Allah na Muhammad wanapo kata shauri katika jambo lao.
Usirudie tena , hayo ni maneno ya Allah , maneno ya Allah yote yamepitia kwenye kinywa Cha Muhammad, Allah ndio anaaamua neno lipi liingie kwenye Koran na lipi lisiingieManeno ya Allah subhanah ndio QURAN.
Maneno ya Mtume -swalla llahu allaihi wasallam- ndio HADITH ZA MTUME, ingawa hii inajumuisha na vitendo, sifa za Mtume, na mambo ambayo aliyakiri.
Mfano wa hadith ni hiyo uliyoitaja hapo juu.
Katika hadith kuna ambazo maana yake inatoka kwa Allah na lafydhi ni ya Mtume -swalla llahu allaihi wasallam- hizi zinaitwa HADITH AL-QUDSIY.
TOFAUTI
QURAN: ni maneno ya Allah kilafudhi na kimaana.
HADITH ZA MTUME: ni maneno ya mtume kilafudhi na kimaana.
HADITH AL- QUDSIY: ni maneno ya Allah kimaana na lafudhi ni ya Mtume -swalla llahu allaihi wasallam-.
Tunaposema Mtume swalla llahu allaihi wasallam- hazungumzi kwa matamanio ya nafsi yake bali ni Wahyi(ufunuo) kutoka kwa Allah.
Maana yake ni kuwa Mtume hazungumzii mambo ya dini kwa utashi wake bali ni ufunuo kutoka kwa Allah.
Mfano ni hiyo hadith uliyoitaja hapo juu, Mtume -swalla llahu allaihi wasallam- hakuwepo kipindi cha Nabii Ibrahim -alaihi ssalaam- bali ni kwa ufunuo kutoka kwa Allah ndio amejua hivyo.
Lakini itabaki kuwa hayo ni maneno ya Mtume -swalla llahu allaihi wasallam- kilafudhi na kimaana.
Na Allah ndiye mjuzi zaidi.
Muhimu ni kuwa umesoma nilichokiandika na kukielewa, basi inatosha.Usirudie tena , hayo ni maneno ya Allah , maneno ya Allah yote yamepitia kwenye kinywa Cha Muhammad, Allah ndio anaaamua neno lipi liingie kwenye Koran na lipi lisiingie
Usirudie kudanganya tena
Ulichokuja nacho kuonesha unajua kumbe hujui, umejikuta umeangukia pua, nimekuonya tu nikiandika kitu usikurupuke kujibuHivi unajua kuwa hata haya mambo ambayo huwa unayafanya ya kuchukua aya za Quran na kuzitafsiri unavyotaka wewe, Allah alisha lieleza hilo katika Quran?
33:36. Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Allah na Muhammad wanapo kata shauri katika jambo lao.Quran ni maneno ya Mola aliyetuumba sisi wanaadamu na akaumba mbingu na ardhi, na wala haikuwa kwa Mtume Muhammad au mwanaadamu yeyote yule kuweza kuja na kitabu kikamilifu kama Quran.