World Vision kuna tatizo gani, mbona wanatangaza kazi zilezile kila wakati?

World Vision kuna tatizo gani, mbona wanatangaza kazi zilezile kila wakati?

Point iko palepale mkuu kuwa cheti cha ubatizo ni mojawapo ya document muhimu itakayofanya uweze kupata ajira pale taasisi ya kidini ya world vision..
Kuna watu Tanzania ni wagumu kuelewa.. na wewe ni mmoja wao..

Kinachohitajika ni barua ya kukutambulisha kuwa wewe ni mkristo toka kwa mchungaji wako.. hakuna nyaraka nyingi ya kidini zaidi ya hii..

Pia kama wewe ni mwanandoa, utalazimika kutoa au kupeleka nakala ya cheti cha ndoa.

Ukitaka kujua mengine zaidi, njoo PM
 
Kuna watu Tanzania ni wagumu kuelewa.. na wewe ni mmoja wao..

Kinachohitajika ni barua ya kukutambulisha kuwa wewe ni mkristo toka kwa mchungaji wako.. hakuna nyaraka nyingi ya kidini zaidi ya hii..

Pia kama wewe ni mwanandoa, utalazimika kutoa au kupeleka nakala ya cheti cha ndoa.

Ukitaka kujua mengine zaidi, njoo PM
"Kinachohitajika ni barua ya kukutambulisha kuwa wewe ni mkristo toka kwa mchungaji wako.........hakuna nyaraka nyingi ya kidini zaidi ya hii".😂😎
 
Nani kakuambia kuwa mshahara mdogo hauleti maendeleo??...mimi nilijenga kwa mshahara wa laki mbili.
Yes, hii ndio hoja yangu.. mshahara mdogo ni individual perception... na sio general perception.. mshahara mdogo kwako, mi kwangu ni mkubwa..

Sasa yeye anashangaa watu wanakimbilia World Vision wakati mshahara ni mdogo.. mdogo kwake...!!
 
Back
Top Bottom